Maono
Kuwa jukwaa kubwa zaidi la teknolojia ya kilimo barani Afrika linaloboresha maisha ya mamilioni ya wakulima kupitia teknolojia, data na ubunifu kwa mfumo endelevu wa chakula.
FarmHubPakua App



Digital agriculture for Tanzania
Tunaunganisha teknolojia na kilimo ili kuwasaidia wakulima, wafugaji, wafanyabiashara na taasisi kufanya maamuzi sahihi.
Mobile App

About Us
Lengo letu ni kuwasaidia wadau wote wa sekta ya kilimo na ufugaji kufanya kazi kwa urahisi, kutumia taarifa sahihi na kuongeza kipato.
Kuwa jukwaa kubwa zaidi la teknolojia ya kilimo barani Afrika linaloboresha maisha ya mamilioni ya wakulima kupitia teknolojia, data na ubunifu kwa mfumo endelevu wa chakula.
Kubadilisha sekta ya kilimo kidijitali kwa suluhisho janja zinazoboresha uzalishaji, masoko, huduma za kifedha na usimamizi wa usafirishaji.
Our Solutions

Wakulima, wafugaji, wasambazaji wa pembejeo na wanunuzi hukutana kufanya biashara kwa usalama.

Hifadhi taarifa za shamba na pata ripoti ya msimu kuhusu gharama, mapato na mavuno.

Mshauri wa kilimo anayepatikana saa 24/7 kwa maswali ya mazao, mbolea, dawa na magonjwa.

Simamia maghala, rekodi za mazao, ubora, risiti na kiasi kilichobaki ghalani.

Unganisha wakulima na maafisa ugani kwa ushauri, ziara za shambani na mafunzo.

Wafugaji wa kuku na ndege wengine wanaweza kurekodi chanjo, matibabu, chakula, uzalishaji na mauzo.

Pata utabiri wa mvua, joto, upepo na tahadhari za hali mbaya ya hewa kwa wakati.
Who We Serve
Technology
Roadmap
Kujenga mfumo unaorahisisha huduma za kilimo Tanzania.
Kuunganisha wakulima, wafugaji, maghala, masoko na wataalamu kwenye mfumo mmoja.
Kupanua huduma Afrika Mashariki, Afrika nzima na baadaye kuwa jukwaa la kimataifa.
Impact
Partners
News & Insights
Ikiwa ungependa kufanya kazi nasi, hapa ndipo utapata nafasi za kazi, internship, volunteer na ushirikiano wa kitaalamu.
Contact Us